Home Kimataifa WILLIAM RUTO ASHINDA URAIS KENYA

WILLIAM RUTO ASHINDA URAIS KENYA

Mwenyekiti wa Tume huru ya Uchaguzi na Mipaka ya Kenya (IEBC), Wafula Chebukati amemtangaza Rais mteule wa Tano, William Ruto wa Chama cha UDA aliyechaguliwa kwa jumla ya kura zaidi milioni ya milioni saba (7) sawa na asilimia 50.49, akimzidi mpinzani wake Raila Odinga wa Chama cha Azimio aliyepata kura Zaidi ya milioni sita (6) sawa na asilimia 48.85 ya kura zote.

LEAVE A REPLY

Please enter your comment!
Please enter your name here
Captcha verification failed!
CAPTCHA user score failed. Please contact us!