SERIKALI YAPUNGUZA KODI KUHAMASISHA MATUMIZI YA GESI KUPIKIA
WIZARA ya Nishati imesisitiza kuwa imeweka mkakati wa kuhakikisha wananchi wote wanatumia nishati safi ya kupikia na kuachana na matumizi ya kuni na mkaa...
TBS WAFANYA MAKUBWA MAONESHO YA NANE NANE 2025 – LINDI
Na Mwandishi Wetu.
Afisa Udhibiti Ubora (TBS) Bw. Ismail Laizer akitoa elimu kuhusu masuala ya viwango kwa wananchi waliohudhuria maonesho ya nanenane yaliyofanyika katika viwanja...
DIT WAVUNJA REKODI KWA WELEDI NA KASI YA UTEKELEZAJI WA MRADI WA EASTRIP
Na Mwandishi Wetu .
Dar es Salaam, Tanzania — Wajumbe wa Baraza la Vyuo Vikuu vya Jumuiya ya Afrika Mashariki (IUCEA) wameonyesha kuridhishwa kwa kiwango...
WANANCHI WAKARIBISHWA BANDA LA WIZARA YA NISHATI NANENANE DODIMA
Wizara ya Nishati imeendelea kukaribisha wananchi kutembelea Banda la Wizara ya Nishati katika Maonesho ya Kimataifa ya Wakulima (NANENANE) yanayoendelea katika Viwanja vya Nzuguni...
WASTAAFU WANAOLIPWA NA HAZINA WAASWA KUEPUKA MATAPELI
Na. Saidina Msangi, WF, Dodoma.
Wizara ya Fedha imeawaasa wastaafu wanaolipwa mafao na Hazina kujiepusha na jumbe kwa njia ya simu zinazotumwa na watu wasiojulikana...