Monday, December 15, 2025
Home 2025

Yearly Archives: 2025

RAIS DKT. MWINYI AONYA HATUA KALI DHIDI YA VIONGOZI WATAKAOKIUKA MAADILI

0
Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi, Dkt. Hussein Ali Mwinyi, amesema Serikali itachukua hatua kali za kisheria dhidi ya viongozi na...

SERIKALI YAONGEZA UWEKEZAJI WA BILIONI 52.27 KUIMARISHA ELIMU YA UFUNDI

0
Serikali itaendelea kuongeza uwekezaji mkubwa katika elimu ya ufundi kwa lengo la kuinua ujuzi, ubunifu na uwezo wa ushindani wa vijana katika soko la...

WANANCHI WAAGA MWILI WA JENISTA MHAGAMA

0
Na Asella Denis Mamia ya wananchi wamejitokeza kushiriki misa ya kumuombea na kuuaga mwili wa aliyekuwa Mbunge wa Jimbo la Peramiho, Jenista Mhagama. Ibada hiyo...

WATU 21 WAFARIKI KATIKA MAFURIKO MOROCCO

0
Na: Secilia Edwin Watu 21 wamefariki dunia na wengine 32 kujeruhiwa baada ya mvua kubwa kunyesha na kusababisha mafuriko yaliyotokea jana Jumapili katika jimbo la...

RAIS SAMIA AFUNGUA MKUTANO WA 9 WA WAKUU WA MAJESHI

0
Na Halima Hassan Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania na Amiri Jeshi Mkuu, Mhe. Dkt. Samia Suluhu Hassan, leo Desemba 15, 2025 amewasili katika...

MAHAKAMA YA KISUTU YAONDOA MAOMBI DHIDI YA GEOFFREY MMWAMBE NA VIONGOZI WA ULINZI

0
Na Asella Denis Mahakama ya Hakimu Mkazi Kisutu, Dar es Salaam, leo Jumatatu Desemba 15, 2025, imeyaondoa rasmi maombi namba 289778/2025 yaliyokuwa yamefunguliwa Mahakamani hapo...

KWAGWILA AWAONYA WAKURUGENZI, SERIKALI HAITAWAVUMILIA WASIO WAADILIFU

0
Naibu Waziri wa Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa (TAMISEMI), Reuben Kwagwila, ametoa onyo kali kwa Wakurugenzi wa Halmashauri zote nchini dhidi ya...

TANZANIA NI MFANO WA AMANI NA MSHIKAMANO DUNIANI – GUTERRES

0
Katibu Mkuu wa Umoja wa Mataifa, Mheshimiwa Antonio Guterres, amesema Tanzania imekuwa ni rejea muhimu ya amani na mshikamano wa kijamii barani Afrika na...

WANU AMETAKA MRADI WA EASTRIP DIT MWANZA UKAMILISHWE KWA WAKATI

0
Na: Secilia Edwin Naibu Waziri wa Elimu, Sayansi na Teknolojia, Wanu Hifadhi Ameir, amemtaka mkandarasi wa COMFIX & Engineering kuongeza kasi ya ujenzi wa miundombinu...

WALIPAKODI WATAKIWA KUMALIZA MWAKA BILA MADENI YA KODI

0
Walipakodi nchini wametakiwa kutimiza wajibu wao wa kulipa kodi ya mapato awamu ya nne na kuwasilisha ritani za kodi ya ongezeko la thamani kwa...