Home 2025
Yearly Archives: 2025
RAIS DKT. MWINYI AONYA HATUA KALI DHIDI YA VIONGOZI WATAKAOKIUKA MAADILI
Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi, Dkt. Hussein Ali Mwinyi, amesema Serikali itachukua hatua kali za kisheria dhidi ya viongozi na...
SERIKALI YAONGEZA UWEKEZAJI WA BILIONI 52.27 KUIMARISHA ELIMU YA UFUNDI
Serikali itaendelea kuongeza uwekezaji mkubwa katika elimu ya ufundi kwa lengo la kuinua ujuzi, ubunifu na uwezo wa ushindani wa vijana katika soko la...
WANANCHI WAAGA MWILI WA JENISTA MHAGAMA
Na Asella Denis
Mamia ya wananchi wamejitokeza kushiriki misa ya kumuombea na kuuaga mwili wa aliyekuwa Mbunge wa Jimbo la Peramiho, Jenista Mhagama. Ibada hiyo...
WATU 21 WAFARIKI KATIKA MAFURIKO MOROCCO
Na: Secilia Edwin
Watu 21 wamefariki dunia na wengine 32 kujeruhiwa baada ya mvua kubwa kunyesha na kusababisha mafuriko yaliyotokea jana Jumapili katika jimbo la...
RAIS SAMIA AFUNGUA MKUTANO WA 9 WA WAKUU WA MAJESHI
Na Halima Hassan
Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania na Amiri Jeshi Mkuu, Mhe. Dkt. Samia Suluhu Hassan, leo Desemba 15, 2025 amewasili katika...
MAHAKAMA YA KISUTU YAONDOA MAOMBI DHIDI YA GEOFFREY MMWAMBE NA VIONGOZI WA ULINZI
Na Asella Denis
Mahakama ya Hakimu Mkazi Kisutu, Dar es Salaam, leo Jumatatu Desemba 15, 2025, imeyaondoa rasmi maombi namba 289778/2025 yaliyokuwa yamefunguliwa Mahakamani hapo...
KWAGWILA AWAONYA WAKURUGENZI, SERIKALI HAITAWAVUMILIA WASIO WAADILIFU
Naibu Waziri wa Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa (TAMISEMI), Reuben Kwagwila, ametoa onyo kali kwa Wakurugenzi wa Halmashauri zote nchini dhidi ya...
TANZANIA NI MFANO WA AMANI NA MSHIKAMANO DUNIANI – GUTERRES
Katibu Mkuu wa Umoja wa Mataifa, Mheshimiwa Antonio Guterres, amesema Tanzania imekuwa ni rejea muhimu ya amani na mshikamano wa kijamii barani Afrika na...
WANU AMETAKA MRADI WA EASTRIP DIT MWANZA UKAMILISHWE KWA WAKATI
Na: Secilia Edwin
Naibu Waziri wa Elimu, Sayansi na Teknolojia, Wanu Hifadhi Ameir, amemtaka mkandarasi wa COMFIX & Engineering kuongeza kasi ya ujenzi wa miundombinu...
WALIPAKODI WATAKIWA KUMALIZA MWAKA BILA MADENI YA KODI
Walipakodi nchini wametakiwa kutimiza wajibu wao wa kulipa kodi ya mapato awamu ya nne na kuwasilisha ritani za kodi ya ongezeko la thamani kwa...













