Home 2023
Yearly Archives: 2023
ETARO SEKONDARI YADHAMIRIA KUWA NA “HIGH SCHOOL” YA SOMO LA KOMPYUTA JIMBO LA MUSOMA...
-MUHONGO KUONGOZA HARAMBEE DISEMBA 23
Na Shomari Binda-Musoma
SHULE ya sekondari Etaro iliyopo kwenye jimbo la Musoma vijijini imekusudia kuwa " High School" yenye mchepuo wa...
DKT. KIKWETE AONGOZA JOPO LA WAZEE WA SADC KWENYE UCHAGUZI MKUU DRC
Kufuatia maelekezo ya Asasi ya Siasa, Ulinzi na Usalama (Organ of Troika) ya Jumuiya ya Maendeleo Kusini mwa Afrika (SADC) kwa Jopo la Wazee...
WANANCHI WA HANANG WAMSHUKURU RAIS DKT. SAMIA
NA. MWANDISHI WETU
Wananchi wa Halmashauri ya Wilaya ya Hanang wameishukuru Serikali kutokana na juhudi kubwa iliyozifanya katika urejeshaji wa hali na misaada ya kibinadamu...
Watatu wanashikiliwa na Jeshi la Polisi Mkoani Mwanza kwa tuhuma za Mauaji
Na Neema Kandoro Mwanza
JESHI la Polisi Mkoani Mwanza linawashikilia watu watatu Kwa Mauaji ya watu wanne Kwa Nyakati tofauti katika Wilaya ya llemela na...
MAGANYA AWATAKA WANA CCM KUSHIKAMANA NA KUKIIMARISHA CHAMA
-ATAKA TOFAUTI ZA VIONGOZI ZISIWEPO
-AOMBA WAMUACHE AMSAIDIE RAIS SAMIA KAZI
Na Shomari Binda-Musoma
MWENYEKITI wa Jumuiya ya Wazazi Taifa Fadhil Maganya amewataka wana CCM kushikamana na...
MHE. KIGAHE: LENGO LA SERIKALI NI KUONA WAFANYABIASHARA WANAFANYA SHUGHULI ZAO KATIKA MAZINGIRA RAFIKI
Naibu Waziri wa Viwanda na Biashara, Mhe Exaudi Kigahe(Mb) amesema kuwa lengo la Serikali ni kuona wafanyabiashara wanafanya shughuli zao katika mazingira rafiki ili...
LUSAJO NURSERY & PRIMARY SCHOOL WATANGAZA KUFANYA MAPINDUZI SEKTA YA ELIMU MSINGI NCHINI.
Na Mwandishi Wetu.
Shule ya Awali na Msingi ya LUSAJO iliyopo Mbondole Ilala Jijini Dar Es Salaam, Desemba 16 , 2023 ilifanya hafla fupi ya...
WAFANYAKAZI WA TIGO WAPELEKA MSAADA HANANG , DC AFUNGUKA MAZITO
Na Mwandishi Wetu.
Desemba , 17, 2023. Wafanyakazi wa Kampuni ya Tigo wametoa msaada wa Vyakula, Magodoro , Maji ya Kunywa , Mablanketi n.k kwa wahanga...
Mhe. Kikwete awataka watumishi wa Ofisi ya Rais, Mipango na Uwekezaji kushiriki kikamilifu mafunzo...
Naibu Waziri, Ofisi ya Rais, Menejimenti ya Utumishi wa Umma na Utawala Bora Mhe. Ridhiwani Kikwete (Mb,) amewataka watumishi wa Ofisi ya Rais, Mipango...
MY LEGACY WATOA MAFUNZO KUMULIKA HAKI YA KUMILIKI ARDHI NA MALI KWA WANAWAKE ,...
Na Mwandishi Wetu.
Taasisi isiyo ya kiserikali My Legacy imekutana na kufanya mazungumzo na wadau kutoka makundi mbalimbali kwaaajili ya kuangalia haki za wanawake, vijana...













