Home 2023
Yearly Archives: 2023
WATANZANIA TUMIENI BIDHAA ZILIZOTENGENEZWA NCHINI KUENDELEZA VIWANDA
Naibu Waziri wa Viwanda na Biashara Mhe. Exaud Kigahe ametoa rai kwa Watanzania kupenda na kunununua bidhaa zinazotengenezwa na viwanda nchini ili kupanua wigo...
TEKNOLOJIA MPYA YA HABARI YA (AI) KUCHAGIZA UKUAJI WA HABARI
Wamiliki wa vyombo vya habari na wanahabari kwa ujumla hapa nchini, wameshauriwa kuitumia Teknolojia mpya ya kimtandao inayojulina kama Akili bandia (Artificial Intelligence), ili...
TANZANIA YAUNGANA NA NCHI NYINGINE KUADHIMISHA MIAKA 78 YA UN
Na Magrethy Katengu
Serikali ya Jamhuri ya Muungano wa Tanzania chini ya uongozi wa Rais, Dkt. Samia Suluhu Hassan imesema itaendelea kuweka mikakati mbalimbali ya...
WAZIRI MCHENGERWA AIPONGEZA TARURA KWA KAZI WANAYOIFANYA
#AFURAHISHWA NA TEKNOLOJIA MBADALA YA UJENZI WA BARABARA NA MADARAJA YA MAWE
Na.Catherine Sungura, Dodoma
Waziri wa Nchi Ofisi ya Rais-TAMISEMI Mhe. Mohamed Mchengerwa ameipongeza Wakala...
TANZANIA NA QATAR KUSHIRIKIANA ZAIDI KATIKA SEKTA YA AFYA, UTAFITI MAFUTA NA GESI
Makamu wa Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mhe. Dkt. Philip Mpango leo terehe 23 Oktoba 2023 amekutana na kufanya mazungumzo na Balozi...
WATANZANIA WATAKIWA KUBADILIKA KULINGANA NA KASI YA MABADILIKO YA KISAYANSI
Watanzania wametakiwa kubadilika kulingana na kasi ya mabadiliko ya Sayansi na Teknolojia, ili kuongeza ufanisi katika utendaji kazi na utoaji huduma, ikiwa ni pamoja...
USHIRIKISHWAJI WA SEKTA KATIKA MAANDALIZI YA MPANGO WA MAENDELEO YA TAIFA
Waziri wa Nchi,Ofisi ya Rais, Mipango na Uwekezaji, Mhe. Prof. Kitila Mkumbo amekutana na kufanya mazungumzo na Waziri wa Mifugo na Uvuvi, Mhe. Abdallah...
BARABARA 10 ZENYE UREFU WA KM 34.6 ZAFUNGULIWA MAFIA
Mafia
Wakala ya Barabara za Vijijiji na Mijini (TARURA) Wilaya ya Mafia kwa mwaka wa fedha 2023/24 imefungua jumla ya barabara mpya 10 zenye urefu...
MIFUKO 250 YA SARUJI YA MBUNGE MUHONGO KUANZISHA UJENZI SEKONDARI MPYA YA PROF. MASAMBA
Na Shomari Binda-Musoma
MIFUKO 250 ya saruji iliyochangwa na mbunge wa jimbo la Musoma vijijini Profesa Sospeter Muhongo imeanzisha ujenzi wa shule mpya ya sekondari.
Saruji...
WADAU WA MITANDAO YA KIJAMII WAPEWA JUKUMU LA KUELIMISHA JAMII ULIPAJI WA KODI NA...
Wadau wa Mitandao ya Kijamii wameaswa kuwa mstari wa mbele katika kuelimisha jamii umuhimu wa kulipa kodi na kudai risiti halali zinazolingana na kiasi...













