Home 2023
Yearly Archives: 2023
MAJALIWA ASHIRIKI SHEREHE ZA KUAPISHWA RAJOELINA
WAZIRI MKUU Kassim Majaliwa leo (Jumamosi, Desemba 16, 2023) ameungana na Marais kutoka nchi sita barani Afrika kwenye sherehe za kumuapisha Rais wa Madagascar,...
BAJETI YA KUBORESHA BARABARA KAGERA YAFIKIA BIL. 52.3
Na. Catherine Sungura - Kagera
Waziri wa Nchi, Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Mhe. Mohamed Mchengerwa amesema Serikali kupitia Wakala...
MHE. KIKWETE: SERIKALI KUWABANA WATUMISHI WASIOFANYA KAZI
Na Lusungu Helela- Arusha
Naibu Waziri, Ofisi ya Rais Menejimenti ya Utumishi wa Umma na Utawala Bora Mhe.Ridhiwani Kikwete amesema matumizi ya mfumo wa PIPIMS,...
ULEGA AKABIDHI MITUNGI YA MAJIKO YA GESI 1000 KWA WANAWAKE MKURANGA
NA SCOLASTICA MSEWA, MKURANGA
Waziri wa Mifugo na Uvuvi, Mheshimiwa Abdallah Ulega ambaye pia ni Mbunge wa Jimbo la Mkuranga amekabidhi mitungi ya majiko ya...
MANARA ATOA MAMILIONI KWA WASHINDI WA MAGIFTI DABO DABO YA TIGO
Na Mwandishi Wetu.
Disemba 15, 2023 Luhuvilo Magombola Mkazi wa Mabibo, David Bombeki mwanachuo DIT, na Janeth Emmanuel Mghweno Mkazi wa Shekilango Dar Es Salaam wameingia...
MAJALIWA KUMWAKILISHA RAIS SAMIA UAPISHO WA RAIS RAJOELINA.
Waziri Mkuu, Kassim Majaliwa Disemba 15, 2023 amewasili kwenye Uwanja wa Ndege wa Kimataifa wa Ivato uliopo Antananarivo nchini Madagascar na kupokelewa na Waziri...
Mwanza yaja na mikakati kabambe kupunguza migogoro ya Ardhi
Na Neema Kandoro Mwanza
WIZARA ya Ardhi Nyumba na Maendeleo ya Makazi imetatua migogoro 945 na kutoa hati zaidi ya 1000 katika Halmashauri za wilaya...
SERIKALI YAJIVUNIA MFUMO WA KIDIJITARI WA MANUNUZI YA UMMA (NeST) KUZIBA MIANYA YA RUSHWA
Na Lusungu Helela - Arusha
Naibu Waziri Ofisi ya Rais Menejimenti ya Utumishi wa Umma na Utawala Bora, Mhe.Ridhiwani Kikwete anesema eneo la ununuzi wa...
VITENGO HUDUMA YA DHARURA, “ICU” HOSPITAL YA KUMBUKUMBU YA MWALIMU NYERERE MUSOMA YAKAMILIKA VIFAA...
Na Shomari Binda-Musoma
VIFAA tiba kwaajili ya kutolea huduma kwenye hospital ya Kumbukumbu ya Mwalimu Nyerere iliyopo Musoma vimekamilishwa kwaajili ya kutoa huduma kwa wananchi.
Kuwepo...
SERIKALI IPO TAYARI KUNUNUA MADINI KUTOKA KWA WAFANYABIASHARA WA MADINI NCHINI – WAZIRI MAVUNDE
-Wafanyabiashara watakiwa kuchangamkia fursa, wachimbaji wadogo kuendelea kuwezeshwa vifaa
Waziri wa Madini, Mhe. Anthony Mavunde amesema kuwa Serikali kupitia Benki Kuu ya Tanzania (BoT) ipo...













