Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Dkt. Samia Suluhu Hassan amefanya mabadiliko ya vituo ambapo balozi wa Tanzania nchini Malawi amehamishiwa Cuba na balozi wa Falme za Kiarabu kwenda Uturuki na kuteua balozi mmoja kuiwakilisha Tanzania nchini Uturuki.

#MzawaUpdates








