Home Kitaifa RAIS SAMIA ATEUA, ABADILI VITUO VYA KAZI MABALOZI

RAIS SAMIA ATEUA, ABADILI VITUO VYA KAZI MABALOZI

Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Dkt. Samia Suluhu Hassan amefanya mabadiliko ya vituo ambapo balozi wa Tanzania nchini Malawi amehamishiwa Cuba na balozi wa Falme za Kiarabu kwenda Uturuki na kuteua balozi mmoja kuiwakilisha Tanzania nchini Uturuki.

#MzawaUpdates

LEAVE A REPLY

Please enter your comment!
Please enter your name here
Captcha verification failed!
CAPTCHA user score failed. Please contact us!