Home  2025
                                    Yearly Archives: 2025
NAFASI YA MAKAMU MWENYEKITI CCM KUPITIA MAPENDEKEZO, SI KUGOMBEWA
                    
Na Hamida Ramadhan, Mzawa Online ApDodoma
CHAMA cha Mapinduzi (CCM) kimewataka wanachama wake kuachana na taharuki zinazozagaa kwenye mitandao ya kijamii kuhusu mchakato wa kumpata...                
            RAIS MWINYI: ONGEZEKO LA WAWEKEZAJI NI UKUAJI WA UCHUMI
                    
Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Dk. Hussein Ali Mwinyi ameeleza kuwa kuna ongezeko kubwa la Wawekezaji katika Sekta ya Utalii...                
            MAJALIWA: UBORA WA MIRADI UWIANE NA THAMANI YA FEDHA ZINAZOTOLEWA
                    
WAZIRI MKUU, Kassim Majaliwa ametoa wito kwa wasimamizi wa miradi inayotekelezwa na Serikali ikiwemo ya elimu kuhakikisha inakamilika kwa wakati na kwa ubora unaolingana...                
            “MSIWAONEE HURUMA WANAOKWEPA KODI” DK. MWIGULU NCHEMBA
                    
Waziri wa Fedha Mhe. Dk. Mwigulu Nchemba ameitaka Mamlaka ya Mapato Tanzania (TRA) kutowaonea huruma watu wanaokwepa Kodi bila kujali ukubwa au umaarufu wao.
Akifungua...                
            UUNGANISHAJI UMEME VIJIJINI WAFIKIA ASILIMIA 99.9
                    
📌Vitongoji 33,657 vimefikiwa
Wakala wa Nishati Vijijini (REA) umesema kuwa hadi kufikia mwishoni mwa mwezi Desemba 2024, vijiji vilivyounganishwa na umeme nchini vimefikia 12,301 kati...                
            UUNGANISHAJI UMEME VIJIJINI WAFIKIA ASILIMIA 99.9
                    
📌Vitongoji 33,657 vimefikiwa
Wakala wa Nishati Vijijini (REA) umesema kuwa hadi kufikia mwishoni mwa mwezi Desemba 2024, vijiji vilivyounganishwa na umeme nchini vimefikia 12,301 kati...                
            RAIS SAMIA AONGOZA MKUTANO WA ASASI YA ULINZI NA USALAMA (SADC-Organ) ZANZIBAR
                    
Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania ambaye pia ni Mwenyekiti wa Asasi ya Siasa, Ulinzi na Usalama ya Jumuiya ya Maendeleo Kusini mwa...                
            SEKONDARI MPYA INAYOJENGWA KWA NGUVU ZA WANAKIJIJI KUFUNGULIWA MWEZI HUU MUSOMA
                    
Na Shomari Binda-Musoma
WANANCHI wa Kijiji cha Muhoji jimbo la Musoma Vijijini kimeamua kujenga sekondari yake ili kutatua tatizo la umbali mrefu wanaotembea watoto wa...                
            MUHONGO ASISITIZA KILA KIJIJI KUWA NA SHULE YA MSINGI NA SEKONDARI JIMBO LA MUSOMA...
                    
Na Shomari Binda-Musoma
MBUNGE wa jimbo la Musoma vijijini Profesa Sospeter Muhongo amesema lengo ni kuhakikisha kila Kijiji na Kitongoji kinakuwa na shule ya msingi...                
            SERIKALI YAWATAKA WANANCHI KUTEMBELEA VIVUTIO MSIMU WA LIKIZO, SIKUKUU
                    
SERIKALI imewahimiza wananchi kutumia msimu wa sikukuu na likizo kutembelea vivutio vya utalii vilivyopo nchini ili kujifunza, kuburudika na kuchangia ukuaji wa uchumi wa...                
             
            