WASHIRIKI ZAIDI YA 300 WAMEJIANDIKISHA KUSHIRIKI MAONESHO YA EXPO 2025 JAPAN.
Waziri wa Viwanda na Biashara (mb) Dkt. Selemani Jafo amesema mpaka sasa Washiriki zaidi ya 300 kutoka Tanzania wamejiandikisha kushiriki Maonesho ya Expo 2025...
MAJALIWA AIPA MAAGIZO TANROADS UKARABATI WA BARABARA NA MADARAJA
WAZIRI MKUU, Kassim Majaliwa ametoa maagizo kwa Mameneja wa Wakala ya Barabara nchini (TANROADS) kufanya ukaguzi wa mara kwa mara kwenye madaraja na makalavati...





